Swali: Je Ni sahihi kwa Mkristo kupeleka kesi mahakamani?
Jibu: Kwanza ni muhimu kufahamu kuwa makosa yote yanastahili msamaha. Hata kama tumetendewa makosa makubwa kiasi gani, mwisho wa siku ni lazima tusamehe, hiyo ndio sheria ya Imani. Hakuna ukristo bila msamaha, kwasababu kila mwanadamu katenda dhambi, na wote tunapata msamaha wa dhambi bure kupitia damu ya Yesu, tunapomwamini. Hivyo na sisi hatuna budi kusamehe … Continue reading Swali: Je Ni sahihi kwa Mkristo kupeleka kesi mahakamani?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed