Mtu mwenye “kitango” ni mtu wa namna gani kibiblia?

Neno hilo utalisoma katika vifungu hivi; Mithali 20:13 “Mwenye kitango akisingizia hufunua siri; Bali mwenye roho ya uaminifu husitiri mambo. Mithali 20:19 “Mwenye kitango akisingizia hufunua siri; Basi, usishirikiane naye afunuaye midomo yake sana”. Mtu mwenye kitango kwa lugha ya sasa ambayo ni rahisi kueleweka na watu wengi ni mtu  “MMBEA”. Yaani mtu ambaye hawezi … Continue reading Mtu mwenye “kitango” ni mtu wa namna gani kibiblia?