Mbari ni nini kibiblia?

Neno hili linatwa mara nyingi sana katika biblia, sana sana mahali ambavyo vinatajwa vizazi vya wana wa Israeli. Mbari, kwa jina lingine ni UKOO. Kwamfano unaweza kukutana na  sehemu fulani inasema, “hawa ndio wakuu wa mbari za baba zao”. Hapo inamaanisha kuwa “hao ndio wakuu wa ukoo wa baba zao”, Vifuatavyo ni baadhi ya vifungu … Continue reading Mbari ni nini kibiblia?