Nini maana ya neno ‘Kuabiri’ kama linavyotumika katika  biblia?

Kuabiri maana yake ni kupanga safari, husasani ile ya majini, Neno hilo ndilo lililozaa neno abiria, ikiwa na maana  wale wanaosafiri. Utalisoma sana sana katika zile ziara za mtume Paulo, na ile safari yake ya kuelekea Rumi kama mfungwa. Vifuatavyo ni vifungu ambavyo utakutana na neno hilo. Matendo 20:13 “Lakini sisi tukatangulia kwenda merikebuni,TUKAABIRI kwenda … Continue reading Nini maana ya neno ‘Kuabiri’ kama linavyotumika katika  biblia?