Ukichunguza utaona Mungu kaweka vitu vingi vya asili katika mzunguko wake. Na kulikuwa na sababu maalumu wa yeye kufanya hivyo.. Mhubiri 1:6 “Upepo huvuma kusi, hugeuka kuwa kaskazi; hugeuka daima katika mwendo wake, na upepo huyarudia mazunguko yake. 7 Mito yote huingia baharini, walakini bahari haijai; HUKO IENDAKO MITO, NDIKO IRUDIKO TENA”. Hakushindwa kuufanya upepo upotelee tu … Continue reading MZUNGUKO WAKO NI UPI?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed