Maziwa yasiyoghoshiwa ni nini? Kwanini biblia inatumia mfano huo?

1Petro 2:1 “Basi, wekeni mbali uovu wote na hila yote, na unafiki na husuda na masingizio yote. 2 Kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu”; Kughoshi ni kugeuza, au kutia dosari, lengo likuwa ni kukifanya kionekane kama kile cha kwanza, leo hii utasikia maneno kama ‘vyeti … Continue reading Maziwa yasiyoghoshiwa ni nini? Kwanini biblia inatumia mfano huo?