Maziwa yasiyoghoshiwa ni nini? Kwanini biblia inatumia mfano huo?
1Petro 2:1 “Basi, wekeni mbali uovu wote na hila yote, na unafiki na husuda na masingizio yote. 2 Kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu”; Kughoshi ni kugeuza, au kutia dosari, lengo likuwa ni kukifanya kionekane kama kile cha kwanza, leo hii utasikia maneno kama ‘vyeti … Continue reading Maziwa yasiyoghoshiwa ni nini? Kwanini biblia inatumia mfano huo?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed