Wakidhania kuwa ulevi wakati wa mchana ni anasa.

SWALI: Biblia inamaanisha nini iliposema “wakidhania kuwa ulevi wakati wa mchana ni anasa;? JIBU: Tusome vifungu vyenyewe.. 2Petro 2:12 “Lakini hao kama wanyama wasio na akili, ambao walizaliwa kama wanyama tu wa kukamatwa na kupotezwa, wakikufuru katika mambo wasiyoyajua, wataangamizwa katika maangamizo yao; 13 Wakipatikana na madhara, ambayo ni ujira wa udhalimu wao, WAKIDHANIA KUWA … Continue reading Wakidhania kuwa ulevi wakati wa mchana ni anasa.