Tofauti kati ya Hekima, ufahamu na maarifa, ni ipi?

SWALI: a) Naomba kujua tofauti Kati ya Hekima , Ufahamu na Maarifa kwenye biblia b) jinsi gani vitu hivyo vinavyohusiana? Mithali 2:6 “Kwa kuwa BWANA huwapa watu hekima; Kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu”; 2 Mambo ya Nyakati 1:10 “Basi sasa nipe hekima na maarifa, nijue kutoka na kuingia mbele ya watu hawa; kwa kuwa … Continue reading Tofauti kati ya Hekima, ufahamu na maarifa, ni ipi?