Kama wakitenda mambo haya katika mti mbichi, itakuwaje katika mkavu?
SWALI: Bwana Yesu alimaanisha nini kusema “Kwa kuwa kama wakitenda mambo haya katika mti mbichi, itakuwaje katika mkavu? (Luka 23:31) JIBU: Tunaona sehemu mbalimbali katika biblia Bwana Yesu alijifananisha na MTI, utaona kuna mahali anasema mimi ni mzabibu wa kweli, mtu akikaa ndani yake huzaa sana.(Yohana 15:1-8), Sehemu nyingine katika kitabu cha Ufunuo Yesu anajulikana … Continue reading Kama wakitenda mambo haya katika mti mbichi, itakuwaje katika mkavu?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed