Nini maana ya “Mwenye hekima huvuta roho za watu”

SWALI: Biblia ina maana gani inaposema “Mwenye hekima huvuta roho za watu”? JIBU: Tusome. Mthali 11:30 “Mazao ya mwenye haki ni mti wa uzima; Na mwenye hekima huvuta roho za watu” Zipo hekima nyingi, lakini hekima inayozungumziwa katika biblia ni hekima ya rohoni, ambayo ndiyo kuu kuliko hekima zote, ndio hekima aliyonayo Mungu mwenyewe. Sasa … Continue reading Nini maana ya “Mwenye hekima huvuta roho za watu”