BADO UPO YERUSALEMU TU..GALILAYA HUTAKI KWENDA?
Wakati ule Bwana Yesu anafufuka, utaona, lipo kundi la watu alilitokea akiwa kule kule Yerusalemu, lakini lipo kundi lingine alilipa masharti ni wapi atakapokutana nalo. Kwa mfano Yesu wale watu wawili waliokuwa wanakwenda kwenye Kijiji kimoja kilichoitwa Emau, karibu na Yerusalemu, Kristo aliwatokea huko huko (Luka 24:13-33). utaona pia aliwatokea wale wanawake waliokwenda Kaburini siku … Continue reading BADO UPO YERUSALEMU TU..GALILAYA HUTAKI KWENDA?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed