Je Musa yupo anawashitaki watu..kulingana na Yohana 5:45?

Tusome, Yohana 5:45  “Msidhani kwamba mimi nitawashitaki kwa Baba; yuko anayewashitaki, ndiye Musa, mnayemtumaini ninyi. 46  Kwa maana kama mngalimwamini Musa, mngeniamini mimi; kwa sababu yeye aliandika habari zangu. 47  Lakini msipoyaamini maandiko yake, mtayaamini wapi maneno yangu?” Mstari huo haumzungumzii Musa kama Musa, kwamba yupo mahali Fulani mbinguni, anawashitaki watu..hapana!! bali unazungumzia maneno ya … Continue reading Je Musa yupo anawashitaki watu..kulingana na Yohana 5:45?