MAAGIZO AMBAYO HAYAJAAGIZWA!

Shalom! karibu tujifunze biblia, Neno la Mungu wetu, taa iongozayo miguu yetu na Mwanga wa njia yetu, iendayo mbinguni. Katika biblia tunaona yapo maagizo mengi ambayo Mungu wetu ametupatia Moja kwa moja, Kwamfano agizo la Upendo!. Hili ni agizo ya kwamba ni lazima tupendane! 1Yohana 3:10  “Katika hili watoto wa Mungu ni dhahiri, na watoto … Continue reading MAAGIZO AMBAYO HAYAJAAGIZWA!