Je ni kweli Yuda hakuwa na dhambi kwa kumsaliti Bwana, kwasababu tayari ilikuwa imeshatabiriwa?

Ni muhimu kufahamu kuwa kila kitu kilichopo sasa au kitakachokuja tayari kilishatabiriwa. Watu wanaomtafuta Mungu walishatabiriwa na vile vile watu watakao