Tofauti kati ya ufalme wa mbinguni na ufalme wa Mungu ni ipi?

JIBU: Watu wengi wanajaribu kutoa  tofauti katika ya maneno hayo mawili, lakini ukweli ni kwamba yanamaanisha jambo lile lile moja, ufalme wa mbinguni ndio ufalme wa Mungu. Na ndio maana kuna mahali Bwana Yesu  alisema maneno haya kwa wanafunzi wake; Mathayo 19:23 “Yesu akawaambia wanafunzi wake, Amin, nawaambieni, ya kwamba itakuwa shida tajiri kuingia katika … Continue reading Tofauti kati ya ufalme wa mbinguni na ufalme wa Mungu ni ipi?