Kwanini ndugu wanaokaa pamoja wawe kama mafuta ya Haruni?

SWALI: Naomba ufananuzi wa mstari huu, ni kwanini ndugu wanaokaa pamoja wafananishwe kama na mafuta mazuri yashukayo ndevuni mwa Haruni? Zaburi 133:1 “Tazama, jinsi ilivyo vema, na kupendeza, Ndugu wakae pamoja, kwa umoja. 2 Ni kama mafuta mazuri kichwani, Yashukayo ndevuni, ndevu za Haruni, Yashukayo mpaka upindo wa mavazi yake”. JIBU: Tunapaswa tujiulize ni kwanini … Continue reading Kwanini ndugu wanaokaa pamoja wawe kama mafuta ya Haruni?