USIWE MSIKIAJI TU! BALI MTENDAJI.
Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe, karibu tujifunze biblia.. Neno la Mungu wetu linafananishwa na vitu vingi katika biblia, kuna mahali linafananishwa na “Taa” (Zab.119:105)”, sehemu nyingine linafananishwa na Upanga wa roho (Waebrania 4:12, Waefeso 6:17)” Na kuna sehemu linafananishwa na “Kioo”. Na leo tutajifunza ni kwa namna gani linafananishwa na kioo, ili tuelewe … Continue reading USIWE MSIKIAJI TU! BALI MTENDAJI.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed