Ni yupi aliyekuwa mkwe wa Musa kati ya Reueli na Yethro?
JIBU: Ukisoma katika kitabu cha Kutoka, utaona kuna habari kama inajichanganya kuhusiana na baba-mkwe halisi wa Musa, Kwamfano Kutoka 2:18 Inasema aliitwa Reueli, lakini sehemu nyingine zote zilizosalia kama vile Kutoka 3:1,4:18, inamtaja kama ni Yethro. Je kuna makosa ya kiuandishi? Embu tusome baadhi ya vifungu hivyo; Kutoka 2:15 “Basi Farao alipopata habari, akataka kumwua … Continue reading Ni yupi aliyekuwa mkwe wa Musa kati ya Reueli na Yethro?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed