AHADI YA ROHO ILIYOSALIA SASA KWA KIPINDI CHETU.
Kufahamu huduma za Roho Mtakatifu wakati huu ni kugumu kwa wakristo, kama ilivyokuwa kufahamu huduma ya Yesu Kristo kwa wayahudi wakati ule. Wayahudi walimtazamia Kristo aje kama mfalme tu, Wakishikilia baadhi ya vifungu tu kama vile Isaya 9:6 na huku vingine wakiviacha nyuma. Hivyo pale alipokuja kama mwana-kondoo achinjwaye achukuaye dhambi za ulimwengu (sawasawa na … Continue reading AHADI YA ROHO ILIYOSALIA SASA KWA KIPINDI CHETU.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed