MUNGU HATAZAMI MOTO WA KIGENI,KUWA MAKINI!
Zamani nilipokuwa mdogo nilijaribu kufanya zoezi ambalo lilikuwa ni hatarishi kwangu. Nilidhani, kila “balbu” ilihitaji kitu kinachoitwa “Umeme”tu bila kujua ni umeme kiasi gani unahitajika ili uwake. Hivyo, siku hiyo nikachukua nyaya mbili, nikazichomeka moja kwa moja kwenye soketi, lengo langu ni zile nyaya nitakapozigusanisha sasa na balbu nione ikiwaka, nifurahie. Lakini nilipozigusanisha tu zile … Continue reading MUNGU HATAZAMI MOTO WA KIGENI,KUWA MAKINI!
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed