Nini maana ya “Roho za manabii huwatii manabii?
SWALI: Shalom naomba kujua nini maana ya huu mstari “Roho za manabii huwatii manabii? (1Wakorintho 14:34) JIBU: Labda tusome kuanzia juu kidogo ili tupate picha kamili mstari huo ulikuwa unamaana gani.. 1Wakorintho 14:26 “Basi, ndugu, imekuwaje? Mkutanapo pamoja, kila mmoja ana zaburi, ana fundisho, ana ufunuo, ana lugha, ana tafsiri. Mambo yote na yatendeke kwa … Continue reading Nini maana ya “Roho za manabii huwatii manabii?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed