JE! UNAIONA ILE NCHI NZURI YA KUMETA-META MBELE YAKO?

Tofauti na makabila mengine 11 ambayo Yakobo aliyabariki kama tunavyosoma katika kitabu cha Mwanzo ile sura ya 49. Kabila la Isakari ndio kabila, lililokubali utumishi, tena sio utumishi tu ilimradi utumishi bali utumishi kama wa Punda kwa watu wa Mungu. Unaweza kusema wana wa Isakari walikuwa wajinga, kuongozwa na roho ya punda kama wasemavyo watu … Continue reading JE! UNAIONA ILE NCHI NZURI YA KUMETA-META MBELE YAKO?