Ni madhara gani yatampata mtu yule anayetafsiri Neno isivyopaswa!

Jibu: Kuna hatari kubwa sana ya kulihubiri Neno isivyopaswa, Ni vizuri kulielewa Neno vizuri kabla ya kulifundisha.. Leo nitakuambia ni kwanini. Miaka ya nyuma nikiwa bado ni mchanga katika Imani, nilikuwa natamani sana kuhubiri, kwasababu tu nilikuwa naona watu wanahubiri.. Hivyo na mimi, nilikuwa na shauku ya kuhubiri, hata ikiwezekana kuielezea biblia yote,. Hivyo hiyo … Continue reading Ni madhara gani yatampata mtu yule anayetafsiri Neno isivyopaswa!