Karibu katika mwendelezo wa masomo yawahusuyo wanawake wa kwenye biblia, Leo tutamtazama mwanamke mmoja/binti mmoja aliyekuwa mtoto wa pekee wa Mwamuzi wa Israeli. Binti huyu alikuwa alikuwa ni mtoto wa pekee wa mtu aliyeitwa Yeftha, ambaye alikuwa ni Mwamuzi wa taifa la Israeli. Nafasi ya mwamuzi katika Israeli nyakati hizo, ilikuwa inakaribia sana kufanana na … Continue reading SOMO no.02 (BINTI WA YEFTHA).
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed