Ni kweli Paulo alipuuzia maonyo aliyopewa ya kwenda Yerusalemu?
SWALI: Je Ni kweli Mtume Paulo alipuuzia, maonyo aliyoonyeshwa na Roho Mtakatifu kwa kinywa cha Agabo juu ya kwenda Yerusalemu? JIBU: Tusome habari yenyewe kwa faida ya watu wote; Matendo 21:10 “Basi tulipokuwa tukikaa huko siku nyingi, nabii mmoja jina lake Agabo akashuka kutoka Uyahudi. 11 Alipotufikia akautwaa mshipi wa Paulo, akajifunga miguu na mikono, … Continue reading Ni kweli Paulo alipuuzia maonyo aliyopewa ya kwenda Yerusalemu?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed