Kwanini Yesu aliwaambia wale wakoma wakajionyeshe kwa makuhani?
SWALI: Kwanini Bwana Yesu aliwaambia wale watu wenye ukoma waende kujionyesha kwa makuhani?, kwanini asiwaponye tu hivyo hivyo na kuwaacha mpaka awaambie waende kwa makuhani. Luka 17:12 “Na alipoingia katika kijiji kimoja, alikutana na watu kumi wenye ukoma; wakasimama mbali,13 wakapaza sauti wakisema, Ee Yesu, Bwana mkubwa, uturehemu! 14 Alipowaona aliwaambia, Enendeni, mkajionyeshe kwa makuhani. … Continue reading Kwanini Yesu aliwaambia wale wakoma wakajionyeshe kwa makuhani?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed