MBINGU MPYA NA NCHI MPYA. (Sehemu ya 1)
Nakusalimu katika jina kuu sana lipitalo majina yote la Bwana wetu Yesu Kristo, Nakukaribisha katika kujifunza maneno ya uzima. Na leo tutajifunza juu ya mbingu mpya na nchi mpya. Hili ni moja ya maswali yanayoulizwa na watu wengi, Je! Hiyo mbingu mpya na Nchi mpya inayozungumziwa katika maandiko itakuwa wapi? Je ni mbinguni au duniani?. … Continue reading MBINGU MPYA NA NCHI MPYA. (Sehemu ya 1)
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed