KIFAHAMU KIGEZO CHA KUSAMEHEWA NA MUNGU.
Shalom nakusalimu katika jina kuu la Bwana wetu Yesu Kristo. Leo nataka tujifunze jambo la muhimu sana ambalo Bwana anataka tufahamu tunapokwenda mbele zake hususani katika kumwomba msamaha au rehema..hili ni jambo la muhimu sana..naomba usome hadi mwisho. Kwa kawaida hakuna mtu asiyemkosea Mungu..hata kama hutamkosea kwa dhambi ya moja kwa moja zipo dhambi nyingine … Continue reading KIFAHAMU KIGEZO CHA KUSAMEHEWA NA MUNGU.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed