Kwanini wakristo walipomuona Petro akigonga walisema “Ni malaika wake”?
SWALI: Kwanini wakristo wa kwanza waliposikia kuwa Petro kafunguliwa hawakuamini badala yake walitumia neno “Ni malaika wake”..kwanini wawaze vile au waseme vile? JIBU: Tusome. Matendo ya Mitume 12:11-17 [11]Hata Petro alipopata fahamu akasema, Sasa nimejua yakini ya kuwa Bwana amempeleka malaika wake na kunitoa katika mkono wa Herode na katika kutazamia kote kwa taifa la … Continue reading Kwanini wakristo walipomuona Petro akigonga walisema “Ni malaika wake”?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed