Nini maana ya “Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea;?

SWALI: Nini maana ya huu mstari, Mithali 31:6 “Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini. 7 Anywe akausahau umaskini wake; Asiikumbuke tena taabu yake”. Je tunaruhusiwa kunywa pombe, tunapokuwa katika shida? JIBU: Kumbuka agano la kale lilikuwa ni agano la mwilini, hivyo walitafuta kila mbinu za  mwilini ili … Continue reading Nini maana ya “Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea;?