JINSI MUNGU ATAKAVYOTOA THAWABU ZAKE, NA VIGEZO ATAKAVYOTUMIA. (Sehemu ya 4)
Nakusalimu katika jina kuu sana la Bwana wetu Yesu Kristo, karibu katika kujifunza Neno la Bwana. Bado tupo katika mwendelezo wa thawabu mbalimbali za Mungu, na vigezo anavyovitumia kuzitoa. Hii sehemu ya 4. 4) Zipo thawabu kwa wanaowasadia maskini na wasiojiweza. Bwana Yesu alimwambia yule Farisayo Tajiri aliyemwalika katika karamu yake maneno haya; Luka 14:12 … Continue reading JINSI MUNGU ATAKAVYOTOA THAWABU ZAKE, NA VIGEZO ATAKAVYOTUMIA. (Sehemu ya 4)
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed