Neno “Uchungu wa mauti” lina maana gani kibiblia?

Uchungu wa mauti ni nini, kibiblia? Matendo 2:23 “mtu huyu alipotolewa kwa shauri la Mungu lililokusudiwa, na kwa kujua kwake tangu zamani, ninyi mkamsulibisha kwa mikono ya watu wabaya, mkamwua; 24 ambaye Mungu alimfufua, akiufungua uchungu wa mauti, kwa sababu haikuwezekana ashikwe nao. JIBU: Uchungu wa mauti, ni kufa bila kuwa na matumaini ya kufufuka, … Continue reading Neno “Uchungu wa mauti” lina maana gani kibiblia?