Wale Nyoka wa Moto jangwani, walikuwa ni wa namna gani?

Wale Nyoka waliowadhuru wana wa Israeli jangwani walikuwa wana maumbile ya moto au?. Maana maandiko yanasema walikuwa ni Nyoka wa moto, Na kama walikuwa wenye maumvile ya moto, waliwaumaje watu na walitokea wapi? Walishushwa au? Jibu: Tusome, Hesabu 21:6 “BWANA akatuma nyoka za moto kati ya watu, wakawauma, watu wengi wakafa” Neno “moto” hapo halijatumika … Continue reading Wale Nyoka wa Moto jangwani, walikuwa ni wa namna gani?