Nini tofauti ya Uwezo na Uweza kibiblia?

Jibu: Uwezo na Uweza ni kitu kimoja.. tofauti ni kwamba kimoja kinatumika kwa Mungu na kingine kwa wanadamu. Wanadamu na wanyama na shetani na malaika na viumbe vingine vyote vinao UWEZO wa kufanya mambo. Lakini havina UWEZA wa kufanya jambo. Mwenye UWEZA wa kufanya jambo ni Mungu tu peke yake. Mwanadamu ana UWEZO wa kuua … Continue reading Nini tofauti ya Uwezo na Uweza kibiblia?