Amali, na kila kazi ya ustadi, inatokana na mtu kupingana na mwenzake.

SWALI: Naomba kufahamu mstari huu unamaana gani? Mhubiri 4:4 “Tena nikafikiri amali zote, na kila kazi ya ustadi, ya kwamba inatoka katika mtu kupingana na mwenzake. Hayo nayo ni ubatili na kujilisha upepo”. JIBU: Sulemani ni mtu ambaye alipewa na Mungu uwezo wa kutambua hekima ya mambo yote yanayotendeka huku duniani.. Na moja ya jambo … Continue reading Amali, na kila kazi ya ustadi, inatokana na mtu kupingana na mwenzake.