Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na Bwana.
SWALI: Huu mstari una maana gani? Mithali 19:14 “Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na Bwana”. JIBU: Mstari huo unatupa picha kuwa, kumbe vipo vitu vya kurithishwa, lakini pia kuna vitu ambavyo hatuvipati kwa kurithishwa.. Kwamfano, hapo anasema mali; kama nyumba, magari, kazi, hivi vitu mtu … Continue reading Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na Bwana.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed