Mtu yeyote aliyeokoka (Kwa kumaanisha kabisa), ni lazima Bwana ataweka huduma ndani yake, anaweza akawa mchungaji, au mwinjilisti, au mwalimu, au mwimbaji, shemasi, lakini pia anaweza akawa mwandishi, mtunza bustani, mratibu wa vipindi, mwasibu wa kanisa, n.k. maadamu tu zinafanya kazi ya kulihudumia kanisa la Mungu, na si vinginevyo. Licha ya kuwa utaifurahia kazi yako … Continue reading MAUMIVU NYUMA-YA-HUDUMA.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed