Mbona ni maskini tu huwa ndio wanaolipuka mapepo, na sio matajiri?
SWALI: Naomba nifahamishwe mbona ni maskini tu huwa ndio wanaolipuka mapepo, na sio matajiri? JIBU: Si kweli, Nguvu za giza huwa hazichagua, hali ya mtu ya kimaisha, zinawavaa matajiri vilevile vinawavaa maskini, zinawavaa wanaume, zinawavaa wanawake, zinawatesa watoto (Marko 9:21), vilevile zinawaathiri mpaka wanyama (Soma Mathayo 8:31 )..Kwasababu kazi ya shetani sikuzote ni kuuharibu mpango … Continue reading Mbona ni maskini tu huwa ndio wanaolipuka mapepo, na sio matajiri?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed