Usimwache rafiki yako mwenyewe, wala rafiki ya baba yako.

SWALI: Mstari huu una maana gani? Mithali 27:10 “Usimwache rafiki yako mwenyewe, wala rafiki ya baba yako, Wala usiende nyumbani mwa ndugu yako siku ya msiba wako. Afadhali jirani aliye karibu kuliko ndugu aliye mbali” JIBU: Ni mstari unaolenga umuhimu wa marafiki wema katika maisha yetu. Hapo anaanza kwa kusema usimwache rafiki yako mwenyewe, lakini … Continue reading Usimwache rafiki yako mwenyewe, wala rafiki ya baba yako.