USIKWEPE USHIRIKA NA MADHABAHU YA KRISTO.
Upo umuhimu wa kufanya ushirika. Ushirika unatokana na neno kushiriki. Na matokeo ya kushiriki ni kuambukizwa sifa au tabia ya kile kitu unachoshirikiana nacho. Watu wengi hatujui hata Neno USHIRIKINA limetokana na neno kushiriki. Washirikina wanashiriki mambo ya kipepo, ili wapate sifa za kipepo, au waambukizwe tabia zao ndani yao na ndio maana wanaitwa washirikina. … Continue reading USIKWEPE USHIRIKA NA MADHABAHU YA KRISTO.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed