Tu uzao wake Ibrahimu, wala hatujawa watumwa wa mtu.
SWALI: Kwanini wayahudi walimwambia Yesu kuwa hawajawahi kuwa watumwa wa mtu yeyote angali tunajua kuwa walishawahi kuwa watumwa kule Misri kwa miaka 400? JIBU: Tusome; Yohana 8:31 “Basi Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, Ninyi mkikaa katika neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli; 32 tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru. 33 Wakamjibu, Sisi … Continue reading Tu uzao wake Ibrahimu, wala hatujawa watumwa wa mtu.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed