Jibu: Tuanze kusoma kuanzia mstari wa 7.. Kutoka 21:7 “Mtu akimwuza binti yake awe kijakazi, hatatoka yeye kama watumwa wa kiume watokavyo. 8 Kwamba bwana wake hakupendezewa naye, akiwa amemposa, ndipo atakubali akombolewe; hana amri yeye kumwuza aende kwa watu wageni maana amemtenda kwa udanganyifu. 9 Kwamba amposa mwanawe, atamtendea kama desturi zipasazo binti zake. … Continue reading Kutoka 21:10 ina maana gani?.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed