Kuharimishwa ni nini, na kwanini Paulo aombe hivyo?(Warumi 9:2).

Jibu: Ili tuweze kuelewa vizuri tuanzia ule mstari wa kwanza, na tusome mpaka ule wa 5 Warumi 9:1  “Nasema kweli katika Kristo, sisemi uongo, dhamiri yangu ikinishuhudia katika Roho Mtakatifu, 2  ya kwamba nina huzuni nyingi na maumivu yasiyokoma moyoni mwangu. 3  Kwa maana ningeweza kuomba MIMI MWENYEWE NIHARIMISHWE NA KUTENGWA NA KRISTO KWA AJILI … Continue reading Kuharimishwa ni nini, na kwanini Paulo aombe hivyo?(Warumi 9:2).