Fahamu Mwandishi wa kitabu cha Wafalme

SWALI: Mwandishi wa kitabu cha Wafalme alikuwa nani? Biblia haijaweka bayana aliyekuwa mwandishi wa kitabu hiki, lakini kufuatana na hadithi za kiyahudi huaminika kuwa nabii Yeremia ndiye alikuwa mwandishi wa vitabu hivi viwili vya wafalme. Kitabu hichi kinaeleza kwa kina tawala za kifalme Kuanzia Mfalme Sulemani, na kugawanyika kwa  taifa la Israeli pande mbili, hadi … Continue reading Fahamu Mwandishi wa kitabu cha Wafalme