Mhunzi ni nani? (Isaya 54:16)

Jibu: Turejee.. Isaya 54:16 “Tazama, nimemwumba MHUNZI avukutaye moto wa makaa, akatoa silaha kwa kazi yake; nami nimemwumba mharibu ili aharibu” Mhunzi/ Wahunzi  wanaozungumziwa katika biblia ni watu “wanaofua Vyuma, shaba, fedha au dhahabu”. Maana yake wanaviyeyusha vyuma hivyo au madini hayo na kuyaumba kwa maumbile mbalimbali kama silaha na urembo. Tofauti ya Mhunzi na … Continue reading Mhunzi ni nani? (Isaya 54:16)