Tafsiri ya Wakolosai 2:18 Mtu asiwanyang’anye thawabu yenu,

SWALI: Nini maana ya vifungu tunavyovisoma katika Wakolosai 2:18,  ‘Mtu asiwanyang’anye thawabu yenu, kwa kunyenyekea kwa mapenzi yake mwenyewe tu, na kuabudu malaika, akijitia katika maono yake na kujivuna bure, kwa akili zake za kimwili; JIBU: Tukianzia mistari ya juu anasema.. 16  Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu … Continue reading Tafsiri ya Wakolosai 2:18 Mtu asiwanyang’anye thawabu yenu,