Kufifiliza ni kufanya nini? (Kumbukumbu 32:25).

by Admin | 10 January 2025 08:46 am01

Jibu: Turejee…

Kumbukumbu 32:25 “Nje upanga UTAWAFILILIZA Na ndani ya vyumba, utisho; Utaangamiza mvulana na msichana,  Anyonyaye pamoja na mwenye mvi”.

Kufifiliza ni “kuangamiza” hivyo neno hilo katika maandiko hayo limesimama badala ya “kuangamiza mtu”..ambapo matokeo yake ni msiba wa mtu muhimu katika nyumba.

Hivyo andiko hilo laweza kueleweka hivi..

Kumbukumbu 32:25 “Nje upanga UTAWAANGAMIZA Na ndani ya vyumba, utisho; Utaangamiza mvulana na msichana,  Anyonyaye pamoja na mwenye mvi”.

Je unaye YESU moyoni?.

Washirikishe na wengine habari hizi njema kwa kushea

Ikiwa utapenda kupata msaada wa kumpokea Yesu maishani mwako bure, Basi wasiliana nasi kwa namba uzionazo chini ya makala hii.

Pia kwa kupokea mafundisho ya kila siku kwa njia ya WHATSAPP, jiunge na channel yetu kwa kubofya link hii >> https://whatsapp.com/channel/0029VaBVhuA3WHTbKoz8jx10

Kwa mawasiliano: +255693036618 au +255789001312

Bwana akubariki.

Mafundisho mengine:

Rudi Nyumbani

DOWNLOAD PDF
WhatsApp

Source URL: https://wingulamashahidi.org/2025/01/10/kufifiliza-ni-kufanya-nini-kumbukumbu-3225/