Nini maana ya kusali kwa kupayuka payuka?
Swali linaendelea…..Na Je, nisali kwa namna gani ili maombi yangu yasionekane kuwa ni ya kupayuka payuka mbele za Mungu? JIBU: Mungu akubariki ndugu, Mathayo 6:7 Inasema: Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi. Sasa mstari huo ukiangalia … Continue reading Nini maana ya kusali kwa kupayuka payuka?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed