UFUNUO: Mlango wa 5

Shalom! Karibu katika mwendelezo mfupi wa uchambuzi wa kitabu cha ufunuo, kwa neema za Mungu tulishatazama sura zilizotangulia tukaona ile sehemu ya kwanza ya maono Yohana aliyoonyeshwa katika sura ya kwanza, ilihusu sana sana ujumbe wa yale makanisa saba ambayo tunayasoma katika ile sura ya 3 na ya 4, hivyo kama haujafahamu bado ufunuo wa yale makanisa … Continue reading UFUNUO: Mlango wa 5