Dalili zote zinaonyesha kuwa tunaishi katika wakati wa kumalizia, kurudi kwa YESU KRISTO mara ya pili kulinyakua kanisa na kuleta utawala mpya hapa duniani wa miaka 1000 umekaribia sana. Kama tukitazama unabii wa biblia tunaona kuwa baada ya Israeli kumkataa MASIA wao (YESU KRISTO), injili iliondoka kwao na kuhamia kwetu sisi mataifa. Matendo 13:46 ” … Continue reading UFUNUO: Mlango wa 7 & 11
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed